Wednesday, June 26, 2019

Wanamuziki AIKA na Nahreel Wapata Mtoto Mwingine..Wamwita Jina la Nchi



Wasanii wa muziki nchini, Nahreel na Aika wanaounda kundi la Navy Kenzo ambao pia ni wapenzi wamejaliwa kupata mtoto wao wapili, aitwae Jamaika.

Kupitia kurasa zao za mtandao wa Instagram, wameeleza furaha yao mara baada ya kupata mtoto huyu. Aika ameandika, "Jamaika is here God is good, nashukuru kwa maombi yenu".

Utakumbuka kuwa mtoto wao wa kwanza ambaye ni wa kiume walimpata December 2017 na kumpa jina la Gold.

No comments:

Post a Comment