Friday, May 31, 2019

Daz_Baba Ft Ngwea - Wife ( Through Back ) | Download Audio



Daz_Baba Ft Ngwea - Wife ( Through Back ) | Download Audio


Feruzi - Kila Kipindi ( Through Back ) | Download Audio



Feruzi - Kila Kipindi ( Through Back ) | Download Audio


Kisa cha Ferooz, Luludiva Kuwasaidia Wahudumu wa Baa



Msanii  wa muziki wa bongo fleva Lulu Abbas maarufu kama Luludiva anaetamba na wimbo wa mapopo amesema kwa sasa ameandaa mpango maalumu kwaajili ya mabinti wanaofanya shughuli za uhudumu wa baa

Kwenye mahojiano na dozenselection Luludiva amesema kuwa ameamua kuja na mpango wa kuanzisha Foundation kwaajili ya kuwasaidia wahudumu wa baa hasa mabinti wanaonyanyasika na kudharaulika.

Ameongeza kuwa hata yeye alipitia huko kwani aliwahi kuwa mhudumu wa baa kabla ya kuwa staa wa muziki hivyo anatambua manyayaso, dharau na matusi wanayokumbana nayo wahudumu hao.

Ameongeza kuwa lengo kubwa la kuanzisha foundation hiyo ni kuwapa ushawishi na kuwasaidia pale itakapo wezekana ili waweze kutimiza malengo yao.

Balozi huyo wa Kampuni ya simu ya infinix ameongeza kuwa hakuwahi kulipwa alipokuwa anafanya kazi ya uhudumu wa baa kwa mkongwe wa muziki Ferooz na kwamba alifanya kazi hiyo kwa kudharaulika.

Ferooz - Boss ( Through Back ) | Download Audio



Ferooz - Boss ( Through Back ) | Download Audio


Mke Wangu Anunuliwa Nguo za Ndani na Mwanaume


Baada yakudakua mawasiliano ya mke wangu na kukuta Jamaa akimwambia zawadi yako ipo tayari hivyo watafutane ampatie..

Baada ya siku mbili tatu nakaona kimfuko kipo na chupi nne na brazia mbili, sikuuliza ila nikahisi hii ndio ile zawadi. Nikaamua kudakua mawasiliano yake tena.

Nikakutana tena na mawasiliano wakiulizana vip ameipenda zawadi na je zimemtosha.

Kiumweli ni zaidi ya wiki tatu sasa sijamuuliza au kuonyesha tofauti yoyote kwake, ila bado najiuliza ni sahihi kwa mwanamke tena mke wa mtu kupewa zawadi ya chupi au brazia na mwanaume tofauti na Mume/Mpenzi wake..!

Lakini pia je huyu mwanamke anaweza kuendelea kua na vigezo vya kuendelea kua mke.

Lamwisho ni mwanamke / Mwanaume anapokua anaamua kumnunulia mwenzake nguo za ndani anakua anamaanisha nini?

Natumai mawazo yenu yatanisaidia Asante.!

DOWNLOAD: Kido Blanko X Tekno – Sugar



DOWNLOAD: Kido Blanko X Tekno – Sugar


New VIDEO: Runtown – Emotions



New VIDEO: Runtown – Emotions





AUDIO: Mavins ft. Don Jazzy, Rema, Korede Bello, DNA, Crayon – All Is In Order



AUDIO: Mavins ft. Don Jazzy, Rema, Korede Bello, DNA, Crayon – All Is In Order


VIDEO | BABA SILLAH - Nimekusamehe



VIDEO | BABA SILLAH - Nimekusamehe


VIDEO | Country Boy - No No No



VIDEO | Country Boy - No No No




AUDIO | Country Boy - No No No | Download



AUDIO | Country Boy - No No No | Download


AUDIO | Kazuba - AngeJua | Download



AUDIO | Kazuba - AngeJua | Download


AUDIO | NAIPA - TAMATI | Download



AUDIO | NAIPA - TAMATI | Download


Audio | Bo Junior – Nichumu | Mp3 Download



Audio | Bo Junior – Nichumu | Mp3 Download


Daz Nunda . Kamanda ( Through Back ) | Download Audio



Daz Nunda . Kamanda ( Through Back ) | Download Audio


Dalili Nne Ambazo Ukiziona Kwenye Mahusiano Ujue Mnaendana



Wataalamu wa mahusiano wanasema kuwa kuna dalili nne ambazo ukiziona kwenye mahusiano yako basi amini kuwa ninyi mnaendana na pia mapenzi yenu yatadumu

1. Uhusiano wenu uwe na uwiano.

Mahusiano ambayo yamefanikiwa ni yale yenye uwiano sahihi. Katika mahusiano mtakuwa tofauti wakati mwingine, na utofauti huu lazima ulete ulingano.

Mfano, kuna ambao hupenda sana kutoka out na marafiki, huyu anahitaji kupata mtu ambaye si mpenzi sana wa kwenda out ili kuleta mlingano. Unatakiwa kuwa na mtu ambaye unakamilika unapokuwa nae, mtu ambaye mkiwa pamoja mkichanganya tabia zenu mnapata tabia moja ambayo imetokana na kuathiriana kwa matendo yenu.

2. Mnafurahia kusafiri pamoja.

Njia rahisi kabisa ya kujua kama mnaendeana ni kama manafurahia mnapokuwa manasafiri pamoja, Watu wanaoendana hupenda kusafiri pamoja na kwenda sehemu tofauti tofauti.

 Kama wewe unataka kusafiri kwa gari, lakini mwenzako anataka kupanda ndege na ubishani wenu unakuwa mkubwa basi ujue ninyi manatatizo. Wapenzi wanaoendana hukubaliana na njia moja ya kutumia ambayo wote wataifurahia.

3. Uliyenaye anakufanya ujisikie vizuri.

Kuwa katika mahusiano ambayo yanakufa ujisikie kuwa upo katika ubora wako, sio mahusiano ambayo kila ukiyakumbuka unanuna.Kuwa na uhusiano na mtu ambaye mkikaa pamoja huhitaji kupiga miayo na kujinyoosha ili upate cha kuongea. Kuwa na mahusiano ambayo yanakufanya uone fahara hata kuyazungumzia mbele ya rafiki zako.

4. Kuna kitu mnachokipenda ambacho mnafurahia kukifanya pamoja.

Hii ni muhimu kuiona, watu wanaopendana huwa kuna kitu kimoja au zaidi ambavyo wote mnapenda na hufurahia kukifanya pamoja. Hii haimaanishi kuwa basi vitu vyenu kama ni muziki, au vitu vingine vitakuwa sawa, lakini kuna kitu ambacho kitakuwa kinaingiliana kati yenu na ambacho mnafurahia kukifanya.

Kwa ufupi mtakuwa na labda vitu viwili au vitatu mnavyopenda kufanya pamoja mfano kuogelea, kuangalia tamthiliya, muziki, kutembea na vingine. Hii ni ishara kuwa ninyi

VIDEO | Gigy Money Ft. Tushynne - Changanya



VIDEO | Gigy Money Ft. Tushynne - Changanya





DOWNLOAD | HENNESSYY - KAMATA



 | HENNESSYY - KAMATA



AUDIO | Baba Sillah - Nimekusamehe | Download Mp3 Music



AUDIO | Baba Sillah - Nimekusamehe | Download Mp3 Music


Thursday, May 30, 2019

Ndoa ya Lulu Sintofahamu

Ndoa ya Lulu Sintofahamu

Moja ya ndoa za mastaa Bongo iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa ni ya msanii wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ lakini sasa hali ya sintofahamu imegubika, Amani limebaini.

Sintofahamu hiyo inakuja kufuatia ukimya uliotawala kwani tangu mchumba wa staa huyo, Francis Siza ‘Majizo’ amvishe pete mwishoni mwa mwaka jana, hakujawa na chochote kilichoendelea huku wahusika wakiwa wamekausha.

Awali ilidaiwa kuwa, baada ya tukio la Lulu kuvishwa pete, taratibu za ndoa zilikuwa zikifanyika kimyakimya na kwamba ingefanyika bonge la sherehe lakini cha kushangaza wahusika wanaendelea na maisha yao mengine.

Wakizungumza na Amani kwa nyakati tofauti, baadhi ya wadau walisema kuwa, wanatamani kuona tukio hilo la kihistoria linafanyika kwani wamechoka kusubiri. “Miongoni mwa mashabiki kindakindaki wa Lulu mimi ni mmoja wao, nilifurahi sana kuona amevishwa pete, sasa nashangaa hii sintofahamu,” alisema Subira Kessy wa Kinondoni jijini Dar.

Naye Mama Janeth ambaye hakujitambulisha anatoka wapi aliandika kupitia ukurasa wa Instagram baada ya kuona picha mpya za Lulu:

“Waooo…umependeza sana mama, natamani useme hapo ilikuwa kwenye kitchen party yako. Kwani nini tatizo mama, au umeshafunga ndoa kimyakimya? Tuambie tujue maana hii sintofahamu inatutesa.”

Mbali na wadau hao walioonesha kutojua chochote kinachoendelea kuhusu ndoa ya staa huyo, wapo ambao walieleza kuwa, yawezekana imeshafungwa kimyakimya ili kuepusha manenomaneno. “Kuna kipindi Lulu na Majizo walienda China, isije ikawa walienda kule na kumaliza kila kitu. Maana masuala ya kufunga ndoa kwa mbwembwe ni uamuzi wa mtu, sijui lakini…,” alisema Juma Kiloi wa Mwenge, Dar.

MAKONDA ALIWAHI KUSEMA

Katika kukoleza sintofahamu, hata Mkuu wa Dar es Salaam, Paul Makonda ambaye aliwahi kueleza kuwa atakuwa mwenyekiti wa kamati ya harusi ya mastaa hao, miezi kadhaa nyuma aliandika kwenye ukurasa wake wa Instagram hivi: “…heri Majizo ameamua kufungia China, sasa tunasubiri send-off huku (Bongo)…”

TUJIKUMBUSHE

Lulu na Majizo wamekuwa pamoja kwa muda mrefu kabla ya mwezi Septemba mwaka jana kuingia kwenye uchumba rasmi ambapo Makonda aliwahi kusema kuwa, atahakikisha wawili hao wanaingia kwenye maisha ya ndoa haraka. Baada ya tukio la kuvishana pete, wachumba wao walisafiri kwenda China, huko ikadaiwa walifunga ndoa simpo lakini taarifa hizo hazikuwahi kuthibitishwa.

Baadaye zikavuja taarifa kuwa, ndoa ya wawili hao inasukwa chinichini na itafanyika bonge la pati bila watu kuchangishwa lakini mpaka leo kimya kimetawala. Gazeti hili lilifanya jitihada za kumtafuta Lulu kupitia simu yake ya mkononi lakini kila ilipopigwa iliita bila kupokelewa. Simu ya Majizo haikuwa hewani, hata hivyo jitihada za kuwatafuta zinaendelea.

Download Audio: Maarifa – Haikua Rahisi



Download Audio: Maarifa – Haikua Rahisi


Download Audio: Makihiyo ft. Billnass – Sogea



Download Audio: Makihiyo ft. Billnass – Sogea


VIDEO: Madrasat Itiswam – Ramadhani karimu



VIDEO: Madrasat Itiswam – Ramadhani karimu





New AUDIO: WEUSI – Showtime | Mp3



New AUDIO: WEUSI – Showtime | Mp3


AUDIO: Chege X Aslay – Umeruka | Mp3



AUDIO: Chege X Aslay – Umeruka | Mp3


New AUDIO | Lese ft. Teni – Oh Baby



New AUDIO | Lese ft. Teni – Oh Baby


New AUDIO: Otile Brown Ft Jovial – Zichune | Download



New AUDIO: Otile Brown Ft Jovial – Zichune | Download


DOWNLOAD: VIDEO | MAASHA - MILELE



VIDEO | MAASHA - MILELE