
Tasnia ya burudani nchini Tanzania inatarajia kusikia tena muziki mpya wa nguli wa Hip Hop na 'freestyle' aliyeaga dunia hivi karibuni, Golden Jacob (Godzilla).
Kwenye acount yake ambayo inaendeshwa na mmoja wa wana familia, ametoa taarifa kuwa Godzilla aliacha nyimbo zaidi ya mia moja (100) studio, ambazo wataanza kuziachia hivi karibuni.
Taarifa iliyotolewa na acount ya Godzilla
Soon he will be back with A lot of stuff..... He had more than 100+ tracks in stock... why not?? #KingLives
No comments:
Post a Comment