Tuesday, July 2, 2019

AUDIO | FIZO - TEKENYA | Download



AUDIO | FIZO - TEKENYA | Download


Je, Mo Dewji kuileta Arsenal nchini ? ‘Tunataraji kuwa nanyi Tanzania hivi karibuni, asante kwa jezi iliyosainiwa’




Katika maelezo ya Dewji kupitia akaunti yake ya Instagram, ameandika ujumbe wa kuishukuru klabu hiyo kwa zawadi hiyo huku akisema kuwa anatarajia kuwa nao hapa nchini hivi karibuni swala ambalo linawaacha mashabiki wa soka kwenye maswili kuwa je vijana hao wa The Gunnersa wanatarajia kutua Tanzania ?.

“Asante @Arsenal kwa jezi iliyosainiwa! Natarajia kutafuta njia za ushirikiano na @SimbaSCTanzania. Tunataraji kuwa nanyi Tanzania hivi karibuni. π‘Ίπ’‰π’‚π’ƒπ’Šπ’Œπ’Š π’˜π’‚ 𝑨𝒓𝒔𝒆𝒏𝒂𝒍 π’…π’‚π’Šπ’Žπ’‚ π’π’Š π’”π’‰π’‚π’ƒπ’Šπ’Œπ’Š π’˜π’‚ 𝑨𝒓𝒔𝒆𝒏𝒂𝒍!,” – ameandika Mo Dewji.
//
Mohammed Dewj ameongeza “Thank you @Arsenal for the signed kit! I look forward to exploring avenues for partnership with @SimbaSCTanzania. We look forward to having you in Tanzania soon. Karibu πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
𝑢𝒏𝒄𝒆 𝒂 π’ˆπ’–π’π’π’†π’“ π’‚π’π’˜π’‚π’šπ’” 𝒂 π’ˆπ’–π’π’π’†π’“!”

Kila ifikapo tarehe 08/08 ya kila mwaka timu ya Simba hufanya bonanza linalojulikana kama Simba Day ambapo hucheza na timu alikwa kutoka katika nchi nyingine huku ikitumia nafasi hiyo kama sehemu ya kuwatambulisha wachezaji wao wapya. Arsenal itakuja nchini kucheza na miamba hiyo ya soka ya Tanzania siku ya Simba Day ?, tusubiri tuone.

VIDEO | B Gway - Problema



VIDEO | B Gway - Problema





AUDIO&VIDEO | Sirsedenga - Inshallah | Download



AUDIO&VIDEO | Sirsedenga - Inshallah | Download





DOWNLOAD VIDEO

DOWNLOAD AUDIO

Mwanamke Ukiona Unatongozwa na Kila Mwanaume Ujue wewe ni....

Kuna wanawake kadhaa huwa wanafurahia sana kuwa wao kila wanapopita wanaume wanawatongoza. wanaongea kwa majidai sana na furaha kama vile ni jambo la kujivunia.

Ukweli ni kuwa mwanamke ukiona unatongozwa kila sehemu na kila mwanaume ujue wewe ni kimeo sana. sana yaani kila mtu anaona kuwa ana uwezo wa kukupata. unakuwa kama vile daladala au bodaboda kila mwenye uwezo wa kusimamisha anasimamisha. ni kuwa upo kiwango cha kuwa used anytime na anybody. so epuka hali inayokufanya uonekane cheap.

usifurahie kuwa kila unapopita watu wanapiga miluzi na kukufurahia wakikuita ukaona kuwa una nyota ya kupendwa. ujue una nyota ya mbwa kupigiwa miluzi au nyota ya uchafu kufuatwa na inzi. haiwezekani kila mtu anakusimamisha kukutaka kimapenzi. muuza maji, dereva wa boda boda, dereve wa daladala. dereva taxi, jamaa tu njiani kakuona, mwanasheria,ukienda hosp dokta anakutaka, nurse naye anakutaka, ukienda shule mwalimu naye anakutongoza. ukienda ofis flan hr naye anakutaka, mlinzi naye...

yaan wewe unatakwa na kutongozwa na kila mwanaume hapa duniani kasoro tu wale wenye kujiheshimu sana ingawa nao ukiwa kalia maeneo yao ya siri nao wanakugagadua. halafu unajisifu kwa wenzio kuwa wewe unapendwa sana na wanaume una mvuto.... hata uchafu nao husema una mvuto kwa kuwavutia inzi na wadudu wengine kama funza,kunguru n.k

By Komeo Lachuma

Wadau Hivi Hili Kweli Linawezekana Ama Nimeingia Chaka Kwa Binti Huyu Mrembo?



Leo nimekutana na kali ya kufungua mwaka. Kwa muda mrefu tu tumekuwa tukiwasiliana na kuchat kiasi cha kuzoeana na msichana fulani hivi lakini hatukuwahi kuonana. Sasa tukapanga tuonane siku ya leo. Nikamshtua mtrotro mapema leo, nikamwambia aje pande za huku kwetu. Mida ya flani jioni nikawasili maeneo ya kituoni hapa, nikamkuta ananisubiri. Kumuona mtrotro mashallah.. Kiukweli mimi sijajaliwa sura yenye mvuto na kimuonekano pia ni wa kawaida tu. Nikaenda nae maeneo tukapiga story 2.. 3..

Then nikamuingiza majaribuni, nikamuomba tupige mambo kidogo. Cha kushangaza akakubali wakati ndo kwanza tumeonana leo. Nikajilia vyangu kiulainiii, nikamsindikiza. Nikarudi home na viulizo..!! Huyu binti yuko sawa kweli au ndo wale wa buguruni..!!? Au ni kawaida tu, kwamba inawezekana sex at first sight.

Frank